Mfumuko wa Bei wa Taifa kwa Mwaka ulioishia Mwezi April Mwaka huu 2021umeongezeka kwa Asilimia 3.3.
MFUMUKO wa Bei wa Taifa kwa Mwaka ulioishia Mwezi April Mwaka huu umeongezeka hadi kufikia Asilimia 3.3 kutoka asilimia 3.2kwa Mwaka ulioishia Mwezi Machi Mwaka huu ambapo imechangiwa na kuongezeka kwa bei za bidhaa za vyakula. Hayo yameelezwa hii leo Jijini Dodoma na Kaimu Mkurugenzi Mkurugenzi wa Sensa ya Watu na Takwimu za Jamii Ruth Minja wakati
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed